Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 10:41

Kenya yazindua kampeni ya kupunguza visa vya Malaria.


Kenya yazindua kampeni ya kupunguza visa vya Malaria.
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Wasimamizi wa kampeni hiyo wanasema ni kampeni ya kuongeza uelewa wa athari za Malaria katika jamii na kusukuma mbele lengo la serikali la kutokomeza ugonjwa huo ndani ya jamii.

XS
SM
MD
LG