Ripoti kwamba watu wasiopungua 15 wamepoteza maisha yao Mashariki mwa DRC kwa kushambuliwa kwa risasi na maafisa wa jeshi katika matukio tofauti zimeibua hisia mseto, wengi wakitaka wanajeshi hao wachukuliwe hatua kali za kisheria.
Ripoti kwamba watu wasiopungua 15 wamepoteza maisha yao Mashariki mwa DRC kwa kushambuliwa kwa risasi na maafisa wa jeshi katika matukio tofauti zimeibua hisia mseto, wengi wakitaka wanajeshi hao wachukuliwe hatua kali za kisheria.