Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Julai 27, 2024 Local time: 04:55

Mwanajeshi mlevi aua kwa risasi watu 7 katika wilaya ya Fizi nchini DRC.


Mwanajeshi mlevi aua kwa risasi watu 7 katika wilaya ya Fizi nchini DRC.
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Watu hao saba waliouawa na mwanajeshi huyo ambaye inasemekena alikuwa amelewa, walikuwa ndani ya boti kwenye ziwa Tanganyika. Baadaye mwanajeshi huyo naye aliuawa na raia wenye hasira.

XS
SM
MD
LG