Watu hao saba waliouawa na mwanajeshi huyo ambaye inasemekena alikuwa amelewa, walikuwa ndani ya boti kwenye ziwa Tanganyika. Baadaye mwanajeshi huyo naye aliuawa na raia wenye hasira.
Watu hao saba waliouawa na mwanajeshi huyo ambaye inasemekena alikuwa amelewa, walikuwa ndani ya boti kwenye ziwa Tanganyika. Baadaye mwanajeshi huyo naye aliuawa na raia wenye hasira.