Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 26, 2024 Local time: 04:01

Idadi ya watu waliofariki kwa mafuriko Afrika kusini imefikia 440


Idadi ya watu waliofariki kwa mafuriko Afrika kusini imefikia 440
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Idadi ya watu waliofariki kutokana na mafuriko yaliyotokea Afrika kusini iliongezeka hadi 440 siku ya Jumapili huku mvua ikipungua na kuruhusu shughuli za uokoaji kushika kasi baada ya moja ya dhoruba iliyosababisha vifo zaidi katika kumbukumbu za maisha

XS
SM
MD
LG