Wakristo duniani waadhimisha mateso ya Yesu Kristo katika ibada ya Ijumaa kuu na kujiandaa na Pasaka. Makasisi wanasema ni siku muhimu ya kuadhimisha kumbu kumbu ya mateso hayo na wananchi na wachambuzi wa uchumi wanasema imekuja wakati wa hali ngumu ya uchumi.