Hat baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuelezea kutoridhika kwake na uchrleweshwaji wa kupakua mizigo katika bandari ya Dar es Salaam na kuagiza hatua zinazostahili zichukuliwe, wachambuzi wanasema hali hiyo itakuwa na athari ya muda mrefu kwa uchumi wa nchi hiyo.