Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Julai 27, 2024 Local time: 04:10

Mahojiano kamili na msemaji wa kundi la waasi la M23 nchini DRC, Meja Ngoma


Mahojiano kamili na msemaji wa kundi la waasi la M23 nchini DRC, Meja Ngoma
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Wakati waasi wa M23 wakitangaza kusitisha mapigano kwa sasa, msemaji wao, Willy Ngoma, ameiambia VOA kwamba ni lazima serikali iheshimu mkataba wa Nairobi na kuhakikisha kwamba inapambana na makundi mengine ya waasi kwa ajili ya usalama wa raia wa DRC

XS
SM
MD
LG