Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron ameanza kampeni kuelekea duru ya pili ya uchaguzi. msemaji wa waasi wa M23 Mj. Willy Ngoma aambia VOA kwamba ni lazima serikali iheshimu mkataba wa Nairobi na kuhakikisha kwamba inapambana na makundi mengine ya waasi kwa ajili ya usalama wa raia