Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 16, 2024 Local time: 19:45

Askofu Bagonza anasema amefurahishwa na matamshi ya Rais Samia alipoelezea migawanyiko ndani ya nchi


Askofu Bagonza anasema amefurahishwa na matamshi ya Rais Samia alipoelezea migawanyiko ndani ya nchi
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Rais Samia wa Tanzania alisema kuna kazi ya kuirudisha nchi kuwa moja baada ya kutetereka kwa migawanyiko ya udini, ukabila na itikadi. Jambo ambalo limeungwa mkono na askofu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe, Benson Bagonza

XS
SM
MD
LG