Kugunduliwa kwa miili ya raia katika miji ya Ukraine “kutaendelea kuchafua” sifa ya Rais wa Russia Vladimir Putin, Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson amesema wakati wa ziara yake mjini Kyiv.
Kugunduliwa kwa miili ya raia katika miji ya Ukraine “kutaendelea kuchafua” sifa ya Rais wa Russia Vladimir Putin, Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson amesema wakati wa ziara yake mjini Kyiv.