Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Juni 21, 2026 Local time: 13:13

Wabunge 18 wa Tanzania wapinga ripoti ya uchafuzi wa maji ya mto Mara.


Wabunge 18  wa Tanzania wapinga ripoti ya uchafuzi wa maji ya mto Mara.
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Wabunge hao waliochangia kuhusu ripoti hiyo wanasema itakuwa aibu ripoti hiyo ikiwekwa kwenye mtandao maalum wa serikali, kwa sababu haielezi ukweli wa mambo.

XS
SM
MD
LG