Shirika la kimataifa la Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu linasema kwamba robo ya watu wote barani Afrika wanakabiliwa na mzozo mbaya wa njaa kutokana na sababu mbalimbali lakini suala hilo halipewi umuhimu unaostahiki.
Shirika la kimataifa la Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu linasema kwamba robo ya watu wote barani Afrika wanakabiliwa na mzozo mbaya wa njaa kutokana na sababu mbalimbali lakini suala hilo halipewi umuhimu unaostahiki.