Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Mei 23, 2025 Local time: 07:25

Mwezi Mtukufu wa Ramadhan waanza katika baadhi ya nchi, nyingine kuanza Jumapili


Mwezi Mtukufu wa Ramadhan waanza katika baadhi ya nchi, nyingine kuanza Jumapili
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Mwezi mtukufu wa Ramadhan kwa Waislamu ulianza Jumamosi katika baadhi ya nchi kote duniani huku maeneo mengine yakitarajia kuuanza saumu hiyo siku ya Jumapili, licha ya kuwepo kwa changamoto zilizosababishwa na hali ngumu ya maisha.

XS
SM
MD
LG