Wageni wetu, wakiwa ni pamoja na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Dr Peter Mathuki, wanaangazia mafanikio na changamoto za hatua ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kujiunga rasmi na Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Wageni wetu, wakiwa ni pamoja na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Dr Peter Mathuki, wanaangazia mafanikio na changamoto za hatua ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kujiunga rasmi na Jumuiya ya Afrika Mashariki.