Maafisa nchini Uganda wanasema zaidi ya raia 8,000 kutoka DRC wamekimbilia nchini humo wakitoroka mapigano ya hivi karibuni kati ya waasi wa M23 na Jeshi la DRC.
Maafisa nchini Uganda wanasema zaidi ya raia 8,000 kutoka DRC wamekimbilia nchini humo wakitoroka mapigano ya hivi karibuni kati ya waasi wa M23 na Jeshi la DRC.