Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 08:25

Serikali ya Kenya yatangaza kwamba watu milioni 2.8 wanakabiliwa na njaa.


Serikali ya Kenya yatangaza kwamba watu milioni 2.8 wanakabiliwa na njaa.
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Watu milioni 2.8 wanakabiliwa na mahitaji ya chaklula ya haraka katika kaunti 23 hii ikiwa ni ongezeko la kutoka watu milini 2.1 waliokabiliwa na njaa mwezi Septemba mwaka jana.Kaungti ambazo zinaathrika zaidi ni Baringo, Isiolo, Mandera,Marsabit, Samburu, Turkana na Kilifi.

XS
SM
MD
LG