Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 26, 2024 Local time: 06:09

Kenya: Basi la umeme lazinduliwa na kampuni ya Sweden


Kenya: Basi la umeme lazinduliwa na kampuni ya Sweden
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:16 0:00

Kampuni ya Sweden yenye makao yake nchini Kenya imezindua basi linalotumia nishati ya umeme lililotengenezwa mahsusi kwa matumizi ya Afrika kupunguza uchafuzi wa mazingira.

XS
SM
MD
LG