Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Desemba 14, 2025 Local time: 18:16

Hatua ya Spika Ndugai kujiuzulu yawashtua wengi


Hatua ya Spika Ndugai kujiuzulu yawashtua wengi
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:10 0:00

Hatua ya aliyekuwa Spika wa Bunge Job Ndugai kujiuzulu imewashtua wengi nchini Tanzania ambapo wachambuzi wanasema shinikizo kutoka kwa wanachama wa CCM zimepelekea kuchukua hatua hii.

XS
SM
MD
LG