Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Agosti 25, 2026 Local time: 02:02

LIBYA: Uchaguzi mkuu waahirishwa

Maafisa wa usalama wakiwa wamesiama nje ya ofisi za tuma kuu ya uchaguzi ya Libya mjini Benghazi, L
Maafisa wa usalama wakiwa wamesiama nje ya ofisi za tuma kuu ya uchaguzi ya Libya mjini Benghazi, L

Tume ya uchaguzi nchini Libya imesema kwamba haitawezekana kwa nchi hiyo kuandaa uchaguzi mkuu ijumaa hii.

Badala yake, tume hiyo imependekeza kwamba uchaguzi uahirishwe hadi Januari 24 mwaka ujao 2022.

Spika wa bunge ametakiwa kuanza kupanga upya maandalizi ya uchaguzi huo.

This item is part of
XS
SM
MD
LG