Wa-sudan wengi wanasema hawakubaliani na mapinduzi ya kijeshi na kutaka utawala wa mpito kuendelea na kazi zake baada ya Kiongozi wa kijeshi wa baraza la utawala la Sudan Jenerali Abdel-Fatah al-Burhan kutangaza amri ya dharura kote nchini na kulivunjka baraza la utawala wa mpito na serikali. Wanajeshi wamawakamata viongozi wa tano wa serikali pamoja na waziri mkuu Abdallah Hamdok.Wakati huo huo jumuia ya kimataifa ikitoa wito wa kuachiliwa wanasiasa hao.
Matukio
-
Machi 14, 2025Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 28, 2025Waislamu wajitayarish kwa Ramadhani
-
Februari 27, 2025Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 18, 2025Nini kilichosababisha Raila Odinga kushindwa katika uchaguzi wa AU?
-
Februari 11, 2025Naibu Katibu Mkuu aeleza hatua za dharura zinazochukuliwa DRC