Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 18:50

Wasiwasi waibuka Kenya kuhusu ubora wa dawa za Ukimwi/HIV


Wasiwasi waibuka Kenya kuhusu ubora wa dawa za Ukimwi/HIV
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:53 0:00

Wasiwasi mkubwa umezuka nchini Kenya kuhusu ubora wa dawa za kupunguza makali ya HIV/Ukimwi baada ya kuzuiliwa bandarini na wizara ya afya kusema huenda zikawa hatarishi kwa binadamu.

XS
SM
MD
LG