Wamarekani waeleza kuridhishwa na uamuzi wa Baraza la Mahakama kumpata na hatia afisa polisi wa zamani Derek Chauvin katika kesi ya mauaji ya Mmarekani Mweusi George Floyd.
Human Rights Watch laitaka baraza la kijeshi la mpito Chad kuheshimu haki za binadamu.
Dozi 60,000 za AstraZeneca za chanjo dhidi ya COVID-19 zawasili Goma, DRC.