Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Desemba 18, 2025 Local time: 11:45

Hayati Rais wa Tanzania aenziwa na Umoja wa Mataifa


Hayati Rais wa Tanzania aenziwa na Umoja wa Mataifa
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:46 0:00

Aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hayati John Pombe Magufuli ameenziwa Ijumaa kwenye kikao maalum cha Baraza la Umoja wa Mataifa, mjini New York, Marekani.

- Leo Ijumaa Polisi katika mji wa Indianapolis, Indiana, Marekani wanasema watu wanane wamepigwa risasi na kuuawa kwenye kituo cha FedEx na mshambuliaji wa bunduki ambaye alijiuwa.
XS
SM
MD
LG