Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 11:48

Uchaguzi wa kamati ya Olympiki ya Tokyo kuanza mara moja


Uchaguzi wa kamati ya Olympiki ya Tokyo kuanza mara moja
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:26 0:00

Uchaguzi wa kiongozi wa kamati ya Olympiki ya Tokyo utaanzishwa mara moja baada ya mkuu wa michezo ya Olympiki ya Tokyo mwaka 2020 Yoshiro Mori kujiuzulu Ijumaa na kuomba msamaha tena kwa matamshi yake ya kashfa ya kijinsia ambayo yalisababisha lawama ulimwenguni.

XS
SM
MD
LG