Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 23, 2024 Local time: 15:11

Mgogoro wa madaraka waongezeka DRC


Mgogoro wa madaraka waongezeka DRC
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:54 0:00

Vyama vinavyo muunga mkono Rais wa zamani Joseph Kabila vya waamrisha wanachama wake wanaomuunga mkono Rais Felix Tshisekedi kujiuzulu.

- Kamati maalum yaundwa Zanzibar kuchunguza kilichopelekea jengo la kihistoria la Bait al-Ajaaib kuanguka.

- Maambukizi ya COVID-19 yaongezeka kwa kasi nchini Afrika Kusini baada ya kutangaza aina mpya ya virusi vya ugonjwa huo.
XS
SM
MD
LG