Kampuni ya Sahel Sounds hutumia whatsapp kurekodi muziki
Kampuni ya kurekodi nyimbo ya SAHEL SOUNDS ambayo inakuza muziki kutoka kwenye mataifa ya Sahel kila mwezi huwa inaweka EP kwenye mitandao ambapo wanamuziki hurekodi na kisha kutuma kupita simu zao kwenye studio ya kampuni hii mjini Portland, Oregon hapa Marekani kwa kutumia mtandao wa WhatsApp.
Matukio
-
Januari 21, 2025Cameron Diaz na Jamie Foxx washirikiana katika filamu Back in Action
-
Desemba 27, 2024Filam ya Mufasa yatamba katika mauzo kwenye ufunguzi
-
Desemba 10, 2024ZULIA JEKUNDU: Mpiga gitaa Jimi Hendrix akumbukwa
-
Desemba 03, 2024ZULIA JEKUNDU: Diddy anyimwa tena dhamana