Kampuni ya Sahel Sounds hutumia whatsapp kurekodi muziki
Kampuni ya kurekodi nyimbo ya SAHEL SOUNDS ambayo inakuza muziki kutoka kwenye mataifa ya Sahel kila mwezi huwa inaweka EP kwenye mitandao ambapo wanamuziki hurekodi na kisha kutuma kupita simu zao kwenye studio ya kampuni hii mjini Portland, Oregon hapa Marekani kwa kutumia mtandao wa WhatsApp.
Matukio
-
Februari 03, 2023
ZULIA JEKUNDU: Matatu za Kenya na Graffiti kwa vijana.
-
Januari 27, 2023
Mwanamuziki wa Nigeria Tems ateuliwa kwa tunzo ya Oscars
-
Januari 23, 2023
Burudani za wiki hii ndani ya Zulia Jekundu.
-
Januari 15, 2023
Mchoraji wa Congo atumia taka kutengeneza rangi kuchora picha zake
-
Januari 11, 2023
Filamu ya Kitanzania yatinga katika jukwaa la kimataifa la Nefflex
-
Desemba 23, 2022
Filamu mpya ya Harrison Ford
Facebook Forum