Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 26, 2024 Local time: 06:08

Wabunge wa Marekani wasikiliza ushuhuda juu ya mgogoro wa Ethiopia


Wabunge wa Marekani wasikiliza ushuhuda juu ya mgogoro wa Ethiopia
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:07 0:00

Mtafiti katika idara ya utafiti Bunge la Marekani aliambia Bunge ukosefu wa mawasiliano ya intaneti na simu na waandishi wa habari kuzuiliwa kupata taarifa kutoka jimbo la Tigray, Ethiopia umefanya iwe vigumu kufahamu idadi ya watu wasiokuwa na makazi na mahitaji yao.

XS
SM
MD
LG