Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 26, 2024 Local time: 22:38

UNHCR yasikitishwa na hali inayowakabili wakimbizi wa Eriteria


UNHCR yasikitishwa na hali inayowakabili wakimbizi wa Eriteria
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:35 0:00

Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR linasema linaendelea kupokea habari za kusikitisha kuhusu hali mbaya ya wakimbizi wa Eriteria katika kambi za wakimbizi katika jimbo la kaskazini la Ethiopia la Tigray.

XS
SM
MD
LG