Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 17:30

Trevor Noah atajwa kuongoza tamsha la tuzo za Grammy 2021


Trevor Noah atajwa kuongoza tamsha la tuzo za Grammy 2021
please wait

No media source currently available

0:00 0:15:01 0:00

Mchekeshaji maarufu wa televisheni hapa Marekani kwenye kipindi cha Daily Show, na mwenye asili ya Afrika kusini Trevor Noah ametajwa ataongoza tamsha la tuzo za Grammy la mwaka ujao wa 2021. Mapema mwaka huu. Noah alikuwa ameteuliwa kupokea tuzo yake ya kwanza ya Grammy kwenye kitengo cha album bora zaidi ya comedy lakini kwa bahati mbaya akabwagwa na Dave Chappelle.

XS
SM
MD
LG