Trevor Noah atajwa kuongoza tamsha la tuzo za Grammy 2021
Mchekeshaji maarufu wa televisheni hapa Marekani kwenye kipindi cha Daily Show, na mwenye asili ya Afrika kusini Trevor Noah ametajwa ataongoza tamsha la tuzo za Grammy la mwaka ujao wa 2021. Mapema mwaka huu. Noah alikuwa ameteuliwa kupokea tuzo yake ya kwanza ya Grammy kwenye kitengo cha album bora zaidi ya comedy lakini kwa bahati mbaya akabwagwa na Dave Chappelle.
Matukio
-
Machi 26, 2024
Bobi Wine ang'aa kwenye jukwaa la kimataifa
-
Januari 13, 2024
Jonathan Majors kuhukumiwa February 6
-
Januari 08, 2024
Britney Spears asema hatarejea kamwe katika muziki
-
Desemba 16, 2023
Afrika yampoteza mwanamuziki mashuhuri wa Afro Soul Zahara