Trevor Noah atajwa kuongoza tamsha la tuzo za Grammy 2021
Mchekeshaji maarufu wa televisheni hapa Marekani kwenye kipindi cha Daily Show, na mwenye asili ya Afrika kusini Trevor Noah ametajwa ataongoza tamsha la tuzo za Grammy la mwaka ujao wa 2021. Mapema mwaka huu. Noah alikuwa ameteuliwa kupokea tuzo yake ya kwanza ya Grammy kwenye kitengo cha album bora zaidi ya comedy lakini kwa bahati mbaya akabwagwa na Dave Chappelle.
Matukio
-
Januari 23, 2021
ZULIA JEKUNDU EP 317 Wasanii walivyoshiriki kuapishwa kwa Joe Biden
-
Januari 16, 2021
ZULIA JEKUNDU EP 316: Wiki hii wakenya wamzungumzia Naomi Campbell
-
Januari 09, 2021
ZULIA JEKUNDU EPISODE 315: Filamu zinazotamba duniani kwa sasa
-
Januari 02, 2021
Wasanii walivyo wafikia watu kipindi cha COVID-19 2020
-
Desemba 27, 2020
Kennedy Center ujiandaa kwa siku kuu za mwisho ya mwaka
-
Desemba 19, 2020
Kampuni ya Sahel Sounds hutumia whatsapp kurekodi muziki
Facebook Forum