Chimamanda Ngozi Adichie apokea tuzo ya Mshindi wa Washindi miongoni mwa wanawake.
Kwanza kabisa tuanze na habari za fasihi ambapo mwandishi maarufu wa vitabu kutoka Nigeria Chimamanda Ngozi Adichie, ambaye kitabu chake cha Half of a Yellow Sun kilishinda tuzo bora zaidi ya utunzi kwa wanawake mwaka 2007 sasa tena ameteuliwa kupokea tuzo ya Mshindi wa Washindi miongoni mwa wanawake.
Matukio
-
Aprili 14, 2024
Zulia Jekundu Lizzo kubaki kwenye muziki
-
Aprili 06, 2024
Mziki wa kiafrika washamiri kwenye ngazi za kimataifa
-
Machi 26, 2024
Bobi Wine ang'aa kwenye jukwaa la kimataifa
-
Januari 13, 2024
Jonathan Majors kuhukumiwa February 6