Chimamanda Ngozi Adichie apokea tuzo ya Mshindi wa Washindi miongoni mwa wanawake.
Kwanza kabisa tuanze na habari za fasihi ambapo mwandishi maarufu wa vitabu kutoka Nigeria Chimamanda Ngozi Adichie, ambaye kitabu chake cha Half of a Yellow Sun kilishinda tuzo bora zaidi ya utunzi kwa wanawake mwaka 2007 sasa tena ameteuliwa kupokea tuzo ya Mshindi wa Washindi miongoni mwa wanawake.
Matukio
-
Januari 27, 2023
Mwanamuziki wa Nigeria Tems ateuliwa kwa tunzo ya Oscars
-
Januari 23, 2023
Burudani za wiki hii ndani ya Zulia Jekundu.
-
Januari 15, 2023
Mchoraji wa Congo atumia taka kutengeneza rangi kuchora picha zake
-
Januari 11, 2023
Filamu ya Kitanzania yatinga katika jukwaa la kimataifa la Nefflex
-
Desemba 23, 2022
Filamu mpya ya Harrison Ford
-
Desemba 16, 2022
Nairobi Festival ilivyofana wiki hii
Facebook Forum