Miongoni mwa wasanii waunga mkono na maandamano ya SARS
Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari ametangaza kuwa idara maalum ya polisi maarufu kama SARS ingevunjwa. Tangazo hilo ni kufuatia siku kadhaa za maandamano kote nchini yakilalamikia ukandamizaji kutoka idara hiyo iliobuniwa 1992 kwa lengo la kukabiliana na wizi wa mabavu miongoni mwa maovu mengine. Basi wasanii na watu amshuhuri hawajabaki nyuma kwenye juhudi za kushinikiza kuondolewa kwa idara hiyo pamoja na kuitisha haki kwa waliotendewa ukatili. Miongoni mwa walio jitokeza kuunga mkono maandamano hayo ni Burna Boy, Davido, WizKid na FireBoy DML.
Matukio
-
Februari 22, 2019
Hatma ya ndoa za watu wa jinsia moja kujulikana baada ya miezi 3
-
Septemba 26, 2018
Habari mbalimbali za dunia kwa ufupi.
-
Novemba 14, 2017
Taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete nchini Tanzania
Facebook Forum