Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 16, 2024 Local time: 09:29

Kiongozi wa upinzani Burundi kuwasilisha mashtaka mahakamani


Kiongozi wa upinzani Burundi kuwasilisha mashtaka mahakamani
please wait

No media source currently available

0:00 0:06:59 0:00

Agathon Rwasa, kiongozi wa chama cha upinzani cha CNL anapinga matokeo ya uchaguzi yaliyotangazwa na tume ya taifa ya uchaguzi yanayompatia ushindi Evariste Ndayishimiye wa chama cha CNDD-FDD.

XS
SM
MD
LG