Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 26, 2024 Local time: 09:31

Rais Magufuli aiweka Tanzania katika hali ya hatari zaidi: Zitto Kabwe


Rais Magufuli aiweka Tanzania katika hali ya hatari zaidi: Zitto Kabwe
please wait

No media source currently available

0:00 0:07:30 0:00

Kiongozi wa chama cha upinzani Tanzania cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe anasema rais anaiweka nchi katika hali ya hatari kutokana na namna anavyokabiliana na janga la Covid-19, na amerudhisha nyuma sana nchi katika mapambano hayo.

Akizungumzia hotuba aliyotowa rais John Magufuli siku ya Jumapili tarehe 3 Mei 2002, Kabwe anasema mbali na kupambana na atari za ugonjwa wa COVID-19, wanapambano kuhusiana na uwongozi.
XS
SM
MD
LG