Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 18, 2024 Local time: 18:42

Waandishi habari waendelea kunyanaswa na vyombo vya usalama Uganda


Waandishi habari waendelea kunyanaswa na vyombo vya usalama Uganda
please wait

No media source currently available

0:00 0:05:52 0:00

Visa vya waandishi wa Habari kuchapwa, kukamatwa na kufunguliwa mashtaka vinavyotajwa kuwa na lengo la kuwatisha kufanya kazi yao Uganda, vimeendelea kuripotiwa.

Visa vya waandishi wa Habari kuchapwa, kukamatwa na kufunguliwa mashtaka vinavyotajwa kuwa na lengo la kuwatisha kufanya kazi yao Uganda, vimeendelea kuripotiwa.
Viongozi serikalini wanaendelea kuweka masharti na kupitisha sheria zinazoonekana kubana uhuru wa vyombo vya Habari huku tume ya kusimamia mawasiliano nchini humo ikishutumiwa kwa kuwa msitari wa mbele katika kuminya uhuru wa Habari.
XS
SM
MD
LG