Maafisa wa Kenya Wanasema wameanza vita kamili dhidi ya kundi la Kisomali la Al-Shabab ndani ya nchi hiyo kufuatia shambulio la usiku wa Jumatatu katika shule ya msingi, katika Kaunti ya kaskazini mashariki ya Garissa.
Matukio
-
Februari 08, 2023
Rais Biden ahutubia Bunge la Marekani
-
Februari 04, 2023
Wananchi wa Peru washinikiza kufanyika uchaguzi, waandamana
-
Februari 04, 2023
Mkazi wa Haiti anayejulikana kimataifa, akanusha kujihusisha na uhalifu
Facebook Forum