Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Machi 19, 2024 Local time: 11:24

Duniani Leo October 14, 2019


Duniani Leo October 14, 2019
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Tanzania leo imeadhimsha miaka 20 tangu kifo cha muasisi wa taifa hilo, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Wafanyibiashara kutoka sekta ya uchukuzi mjini Mombasa, wanalalamika kuharibika kwa biashara zao kutokana na ujio wa reli ya kisasa ya mwendo wa wastani, SGR.

XS
SM
MD
LG