Duniani Leo October 1, 2019
China imeadhimisha miaka 70 ya utawala wa kikomunisti kwa kufanya maonyesho makubwa ya silaha zake na uwezo wa jeshi mjini Beijing.Tuelekee Hong Kong ambapo waandamanaji wamekabiliana na polisi, wakiwarushia vitu na mabomu ya petrol, huku polisi wakitumia maji ya rangi ya samawati kuwatawanya.
Matukio
-
Januari 16, 2021
Timu ya watafiti kutoka WHO ikiwasili Wuhan
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
-
Desemba 12, 2020
Wakimbizi waongezeka katika mji wa Pemba kaskazini mwa Msumbiji
Facebook Forum