Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 20, 2024 Local time: 16:07

Duniani September 2, 2019


Duniani September 2, 2019
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:03 0:00

Maafisa wa idara ya wanyama pori Kenya wamefanikiwa kupata miili sita ya watu waliokufa kutokana na mafuriko katika hifadhi ya taifa ya Hell’s gate. Na Watu watano wamekufa baada ya mtu aliyekuwa akiendesha gari kuwapiga risasi zaidi ya watu 20 kabla ya kuuawa, magharibi mwa Texas.

XS
SM
MD
LG