Mfumo wa huduma za matumizi ya fedha kwa simu kutumika Sudani ya Kusini
Makampuni ya teknolojia ya Sudan Kusini yameanzisha mfumo wa kwanza kabisa wa kutuma pesa kwa simu ya mkononi huduma hiyo inajulikana kama M-GURUSH. Huduma hiyo inawezesha wateja kulipia bidhaa na huduma zingine nchini kote, inafanya kazi kama mitandao ya Kenya nan chi zingine za Africa
Matukio
-
Januari 21, 2021
Sherehe za kuapishwa Joseph Biden Rais wa 46 wa Marekani
-
Januari 16, 2021
Timu ya watafiti kutoka WHO ikiwasili Wuhan
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
Facebook Forum