Mkenya aliyepoteza familia kwenye ajali ya ndege azungumza na VOA
Wanafamilia wa watu waliofariki katika ajali ya ndege ya shirika la ndege la Ethiopia Max 737 walitokea mbele ya kamati ya bunge la Marekani inayochunguza mazingira yaliyosababisha ajali hiyo na kuuwa watu 157. Paul Njoroge aliyepoteza mke na watoto kwenye ajali hiyo alikuwa miongoni mwao.
Matukio
-
Januari 21, 2021
Sherehe za kuapishwa Joseph Biden Rais wa 46 wa Marekani
-
Januari 16, 2021
Timu ya watafiti kutoka WHO ikiwasili Wuhan
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
Facebook Forum