Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 14:20

Mbunge wa Kenya Jaguar ahojiwa na polisi


please wait

No media source currently available

0:00 0:03:00 0:00

Mbunge Maarufu nchini Kenya Charles Njagua, ambaye pia ni mwanamziki anayejulikana kwa jina Jaguar, anahojiwa na maafisa wa upelelezi kutokana na matamshi yake yanayotajwa kuwa ya kueneza chuki dhidi ya raia wa kigeni wanaofanya shughuli za biashara nchini humo.

XS
SM
MD
LG