Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 01:02

Uganda inahudumia takriban wakimbizi zaidi ya milioni moja


Uganda inahudumia takriban wakimbizi zaidi ya milioni moja
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:56 0:00

Uganda ni mwenyeji wa idadi kubwa wa wakimbizi barani Afrika, inahudumia takriban wakimbizi zaidi ya milioni moja, huku theluthi mbii wakiwa wamekimbia mzozo wa nchini Sudan Kusini. Makubaliano ya amani yaliyofikiwa mwaka jana yaliongeza matumaini kuwa baadhi ya raia wa Sudan Kusini huenda wangerejea nyumbani

XS
SM
MD
LG