Baadae wiki hii maafisa wa marekani wanatarajiwa kuwaeleza wabunge juu ya kile kilichosababisha utawala wa Donald Trump kuimarisha nguvu za kijeshi za marekani katika mashariki ya kati, huku ikiamrisha wafanyakazi wasio na kazi za dharura katika ofisi zake za ubalozi wa Irak kuondoka.