Duniani Leo May 13, 2019
Umoja wa mataifa umesema zoezi la kupeleka vikosi vya waouthi kutoka kwenye maeneo muhimu ya bandari huko Yemen limekwenda vizuri kufuatana na mipango iliyokuwepo. Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Mike Pompeo anafanya ziara katika bara la ulaya. Kituo chake cha kwanza ni Brussels badala ya Moscow
Matukio
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
-
Desemba 12, 2020
Wakimbizi waongezeka katika mji wa Pemba kaskazini mwa Msumbiji
-
Desemba 11, 2020
Rais Mteule wa Marekani Joe Biden amtangaza waziri wa ulinzi
Facebook Forum