Akihojiwa na Mwandishi wetu Sunday Shomari katika kipindi cha Kwa Undani, pia pamoja na mambo mengine amegusia matumizi ya neno udhaifu katika ripoti za CAG. Amehoji suala la kujiuzulu limetokea wapi. Amesisitiza kuwa iwapo kila mmoja atatekeleza majukumu yake kikatiba, ripoti lazima ifanyiwe kazi na mapendekezo yote ya ripoti lazima yatekelezwe.
Matukio
-
Februari 23, 2021
Tundu Lissu amkosoa Magufuli
-
Februari 16, 2021
Na Austere Malivika wa VOA, Goma
-
Januari 28, 2021
COVID-19 : Maoni ya Zitto Kabwe 2
-
Januari 28, 2021
COVID-19 : Maoni ya mwanasiasa Zitto Kabwe
-
Januari 28, 2021
COVID-19 : Maoni ya Magufuli
-
Januari 28, 2021
COVID-19 : Maoni ya Mbatia