Akihojiwa na Mwandishi wetu Sunday Shomari katika kipindi cha Kwa Undani, pia pamoja na mambo mengine amegusia matumizi ya neno udhaifu katika ripoti za CAG. Amehoji suala la kujiuzulu limetokea wapi. Amesisitiza kuwa iwapo kila mmoja atatekeleza majukumu yake kikatiba, ripoti lazima ifanyiwe kazi na mapendekezo yote ya ripoti lazima yatekelezwe.
Matukio
-
Desemba 20, 2022
Je Museveni anamuogopa mwanawe?
-
Novemba 18, 2022
Maandalizi ya Kombe la Dunia 2022 siku mbili kabla ya Kipute kuanza