Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 26, 2024 Local time: 03:25

Wa-Algeria washerehekea baada Bouteflika atangaza hatogombea Urais tena


Wa-Algeria washerehekea baada Bouteflika atangaza hatogombea Urais tena
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:11 0:00

Baada ya mvutano wa muda mrefu wa kuwania madaraka, wa-Algeria sasa wanasherehekea baada ya kiongozi wao wa muda mrefu Abdelaziz Bouteflika kutangaza kwamba hatogombea tena muhula wa tano wa uongozi.

XS
SM
MD
LG