Washington Bureau
Licha ya kampuni ya Huawei imejikuta ikiingia katika mvutano wa siasa baina ya china na marekani, ripoti iliyotolewa na reuters imeonyesha kuwa Huawei imeongoza katika mauzo, na kuishinda kampuni maarufu ya Apple ya Marekani. Mfumo mpya wa teknolojia inayoitwa shock absorber itasaida watu waliyokuwa na matatizo ya magoti.
Matukio
-
Aprili 25, 2024
Asilimia 88 ya Wamarekani wanaunga mkono kuhalalishwa bhangi
-
Machi 26, 2024
Bobi Wine ang'aa kwenye jukwaa la kimataifa