Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 26, 2024 Local time: 10:04

Kenya kuimarisha utalii katika mji Mombasa


Kenya kuimarisha utalii katika mji Mombasa
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:57 0:00

Baada ya miaka kadhaa kwa utalii kudorora katika mji wa Mombasa kutokana na shutuma za ugaidi, sasa mambo yameanza kubadilika kwa kuboresha fani ya utalii katika mji huo mkongwe na maafuru kwa kivutio kikubwa cha utalii nchini Kenya.

XS
SM
MD
LG