Upigaji kura katika mji mkuu wa Kinshasa umecheleweshwa kutokana na mvua kubwa huku maeneo mengine ya nchi yakikabiliwa na matatizo mbali mbali ikiwa ni pamoja na kutokuwepo na daftari ya wapiga kura katika baadhi ya vituo
Wacongo wapiga kura katika uchaguzi mkuu wa kihistoria
5
Kituo kimoja cha kupiga kura KInshasa kimefurika kwa maji
6
Wafanyakazi wa tume huru ya uchaguzi (CENI) wakiwasilisha mashini na bidhaa za kupiga kura katika kituo kimoja mjini Kinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Dec. 27, 2018.
7
Des employés de la Commission électorale nationale indépendante (CENI) déchargent un camion de matériel de vote dans un bureau de vote alors qu'il était gardé par la police à Bukavu, le 28 décembre 2018.
8
Mtumishi wa CENI akichapisha cheti cha kupiga kura kabla ya kituo kufunguliwa mjini Kinshasa, DRC, Dec. 30, 2018.