Duniani Leo December 27, 2018
Rais wa Marekani Donald Trump amerudi mjini Washington baada ya kufanya ziara ya ghafla nchini Iraq huku akiwa bado anakabiliwa na mzozo wa bajeti ya serikali. Maandamano katika maeneo ya Butembo, Beni, Goma na Bunia , Congo kupinga hatua ya tume ya uchaguzi kubadilisha tarehe ya uchaguzi
Matukio
-
Februari 06, 2023
Marekani: Rais Biden atatoa Hotuba ya Hali ya Kitaifa 2023
-
Januari 07, 2023
DRC: Waasi wa M23 wamekubali kuondoka Rumangabo
Facebook Forum